Sunday, February 17, 2013

KUHUSU MTUNZI WA UTENZI:




Sammy W.I. Makilla ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) ambaye kwa sasa ni mtafiti/mwanafunzi kwa masomo ya juu zaidi ya shahada ya pili.

*   Mtunzi wa kitabu cha Tanzania: Chama Kimoja au Vyama Vingi? DUP, Dar es Salaam. Tanzania. 1992.

TANGAZO: Kwa wale wanaotaka kuchapisha utenzi huu kama kitabu cha kawaida tafadhali wawasiliane na mwandishi kupitia barua pepe: sammymakilla@hotmail.com au sammy.i.makilla@gmail.com.  Atakayewahi zaidi atakuwa wa kwanza kufikiriwa.

No comments:

Post a Comment