Sammy W.I. Makilla ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha
Tanzania (OUT) ambaye kwa sasa ni mtafiti/mwanafunzi kwa masomo ya juu zaidi ya
shahada ya pili.
* Mtunzi wa
kitabu cha Tanzania: Chama Kimoja au Vyama Vingi? DUP, Dar es Salaam. Tanzania.
1992.
TANGAZO: Kwa wale wanaotaka kuchapisha utenzi huu kama
kitabu cha kawaida tafadhali wawasiliane na mwandishi kupitia barua pepe:
sammymakilla@hotmail.com au sammy.i.makilla@gmail.com. Atakayewahi zaidi atakuwa wa kwanza
kufikiriwa.
No comments:
Post a Comment